darsa za qurani

IQNA

IQNA – Usajili umeanza kwa wale wanaotaka kushiriki kozi ya majira ya kiangazi ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu katika Msikiti Mkuu wa Makkah (Masjid Al-Haram).
Habari ID: 3482330    Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/06

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kiislamu Kuwait imetangaza kuwa darsa za Qur’ani na kidini pamoja na harakati nyingine za kiutamaduni zitaruhusiwa tena ndani ya misikiti.
Habari ID: 3474519    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/05

TEHRAN (IQNA)- Wizara ya Wakfu nchini Misri imetangaza kuwa darsa za kuhifadhi Qur'ani ndani ya misikiti kwa kuhudhuria ana kwa ana waalimu na wanafunzi zitaanza tena kote katika nchi hiyo.
Habari ID: 3474496    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/31